MUNEKANO wa Madarasa Manne ya Skuli ya Msingi
Mkwajuni Wilaya ya Kaskazini “A” Unguja yaliyofanyika ukarabati na kufunguliwa
na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.,Hussein Ali
Mwinyi, akiwa katika ziara yake katika Wilaya hiyo iliyoaza katika Wilaya hiyo.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akionda pazia kuashiria kuwe Jiwe la Msingi la Ufunguzi wa Madarasa Manne ya Skuli ya Msingi Mkwajuni Wilaya ya Kaskazini “A” Unguja baada ya kufanyiwa ukarabati mkubwa, na (kulia kwa Rais) Mama Mariam Mwinyi, Mkuu wa Wilaya ya Kaskazini “A” Unguja Mhe. Sadifa Juma na Naibu Waziri Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe. Ali Abdulgulam Hussein
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi na Mkewe Mama Mariam Mwinyi wakitembelea
moja ya Darasa kati ya Manne aliyoyafungua leo ya Skuli ya Msingi ya Mkwajuni
Wilaya ya Kaskazini “A” Unguja akiwa katika ziara yake katika Wilaya hiyo
iliyoaza
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiondoa pazia kuashiria kuyafungua
Madarasa Saba ya Skuli ya Msingi
Mkwajuni yaliojengwa kwa Fedha wa Mkopo
nafuu wa Uviko -19, na (kushoto kwa Rais) Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam
Mwinyi na Mkuu wa Wilaya ya Kaskazini ”A” Unguja Mhe. Sadifa Juma, akiendelea
na ziara yake katika Mkoa wa Kaskaziniu Unguja leo 19-7-2022
No comments:
Post a Comment