Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi Ameweka Jiwe la Msingi la Ujenzi wa Skuli ya Msingi Makangale Pemba.

MUONEKANO wa Jengo Jipya la Skuli ya Msingi Makangale Wilaya ya Micheweni Pemba, lililowekwa Jiwe la Msingi la Ujenzi huo na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, linalojengwa kwa Fedha za Uviko -19
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Mhandisi wa Kampuni ya Ujenzi ya Masasi Const Ndg. Mathias John Msila akitowa maelezo ya michero ya jengo la Skuli ya Msingi Makangale, wakati wa hafla ya Uwekaji wa Jiwe la Msingi la Ujenzi huo leo 26-7-2022, linalojengwa kupitia Fedha za Uviko-19.na (kulia kwa Rais) Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar.Mhe Lela Mohammed Mussa na (kushoto kwa Rais) Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Pemba Mhe.Salama Mbarouk
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiondoa pazia kuashiria kuweka Jiwe la Msingi la Ujenzi wa Skuli ya Msingi ya Makangale Wilaya ya Micheweni Pemba, inayojengwa kwa Fedha za Uviko-19, na (kushoto kwa Rais) Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi, hafla hiyo ya uwekaji wa Jiwe la Msingi iliyofanyika
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, akizungumza na kutowa maelekezo kwa Uongozi wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar, wakati akitembelea moja ya madarasa katika jengo hilo la Skuli ya Msingi Makangale baada ya kuweka jiwe la msingi, (kushoto kwa Rais) Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe. Lela Mohammed Mussa. Skuli hiyo inayojengwa kwa Fedha za Uviko-19
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe.Lela Mohammed Mussa, wakati akitembelea jengo la Skuli ya Msingi Makangale Wilaya ya Micheweni Pemba leo 26-7-2022, akiendelea na ziara yake katika Mkoa wa Kaskazini Pemba,na (kushoto kwa Rais) Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi na Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Pemba Mhe. Salama Mbarouk


Mwalimu Mkuu wa Skuli ya Makangale Ndg. Salim Mkadam Hamad.(hayupo pichani) akizungumza wakati wa hafla ya uwekaji wa Jiwe la Msingi la Ujenzi wa Skuli ya Msingi Makangale inayojengwa kwa Fedha za Uviko-19
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, akimsikiliza Mwalimu Mkuu wa Skuli ya Makangale Ndg. Salim Mkadam Hamad.(hayupo pichani) akizungumza wakati wa hafla ya uwekaji wa Jiwe la Msingi la Ujenzi wa Skuli ya Msingi Makangale inayojengwa kwa Fedha za Uviko-19, na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe.Lela Mohammed Mussa na Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi


BAADHI ya Wanafunzi wa Skuli za Sekondari na Msingi Makangale Wilaya ya Micheweni Pemba wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) akizungumza katika viwanja vya Skuli ya Msingi Makangale baada ya kuweka Jiwe la Msingi la Ujenzi wa Skuli ya Msingi Makangale
BAADHI ya Wanafunzi wa Skuli za Sekondari na Msingi Makangale Wilaya ya Micheweni Pemba wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) akizungumza katika viwanja vya Skuli ya Msingi Makangale baada ya kuweka Jiwe la Msingi la Ujenzi wa Skuli ya Msingi Makangale
WANANCHI wa Kijiji cha Makangale Wilaya ya Micheweni Pemba wakimsikiliza Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani ) wakati akizungumza na Wananchi wa Makangale baada ya kuweka Jiwe la Msingi la Skuli ya Msingi Makangale Pemba inayojengwa kwa Fedha za Uviko-19

 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.