Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Mary Masanja (Mb) akihojiwa na Karani wa Sensa, Anthony Mlegi (kulia), wakati akihesabiwa katika makazi yake kwenye zoezi la Sensa ya Watu na Makazi Wilaya ya Magu Mkoani Mwanza leo.
KLABU YA ROTARY DAR YAKABIDHI MADAWATI 300 SHULE YA MSINGI KUNDUCHI
-
Na.Khadija Seif, Michuzi TV
KLABU ya Rotary Dar es salaam imekabidhi Madawati 300 yenye thamani ya
Shilingi Milioni 38 kwa shule ya Msingi Kunduchi Ji...
42 minutes ago
No comments:
Post a Comment