RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akishuhudia utiaji wa Saini wa Hati ya Makabidhiano
ya “DATA” za Utafutaji wa Mafuta na Gesi Asilia kwa Vitalu vya Zanzibar ,
wakisaini ya makabidhiano hayo (kulia kwa Rais) Waziri wa Nishati wa Serikali
ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Januari Yussuf Makamba na
(kushoto kwa Rais) Waziri wa Uchumi wa Buluu na Uvuvi Zanzibar Mhe
Suleiman Masoud Makame, hafla hiyo iliyofanyika katika viwanja vya Ikulu Jijini
Zanzibar leo 10-8-2022
WAZIRI wa Nishati wa Serikali ya Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe.Januari Yussuf Makamba akimkabidhi "DATA" za
Utafutaji wa Mafuta na Gesi Asili kwa Vitalu vya Zanzibar, Waziri wa Uchumi wa
Buluu na Uvuvi Zanzibar Mhe. Suleiman Masoud Makame.(kulia) wakati wa
hafla ya utiaji wa saini ya makabidhiano hayo iliyofanyika katika viwanja vya Ikulu
Jijini Zanzibar leo 10-8-2022, na kushuhudiwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti
wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
WAZIRI wa Nishati wa Serikali ya Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe.Januari Yussuf Makamba akimkabidhi "DATA" za
Utafutaji wa Mafuta na Gesi Asili kwa Vitalu vya Zanzibar, Waziri wa Uchumi wa
Buluu na Uvuvi Zanzibar Mhe. Suleiman Masoud Makame.(kulia) wakati wa
hafla ya utiaji wa saini ya makabidhiano hayo iliyofanyika katika viwanja vya Ikulu
Jijini Zanzibar leo 10-8-2022, na kushuhudiwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti
wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
Waziri wa Nishati wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Januari Yussuf Makamba akizungumza mara baada ya hafla ya utiaji saini Hati ya Makabidhiano ya "DATA" za Utafutaji wa Mafuta na Gesi Asilia kwa Vitalu vya Zanzibar baina ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar iliyofanyika leo katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar.Waziri wa Uchumi wa Buluu na Uvuvi Zanzibar Mhe. Suleiman Masoud Makame akizungumza mara baada ya hafla ya utiaji saini Hati ya Makabidhiano ya "DATA" za Utafutaji wa Mafuta na Gesi Asilia kwa Vitalu vya Zanzibar baina ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar iliyofanyika leo katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza katika hafla ya Utiaji wa Saini
ya Makabidhiano ya “DATA” za Utafutaji wa Mafuta na Gesi Asilia kwa Vitalu vya
Zanzibar, iliyofanyika katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar leo 10-8-2022.
VIONGOZI Wakuu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar
wakifuatilia hafla ya Utiaji wa Saini ya Makabidhiano ya “DATA” za Utafutaji wa
Mafuta na Gesi Asilia kwa Vitalu vya Zanzibar, iliyofanyika katika viwanja vya
Ikulu leo 10-8-2022, wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia baada ya utiaji wa saini hiyo,
uliyofanyika katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar.
BAADHI ya Mabalozi Wadogo wanaofanyika
Kazi zao Zanzibar wakifuatilia hafla ya utiaji wa saini ya Makabidhiano ya
“DATA” za Utafutaji wa Mafuta na Gesi Asilia kwa Vitalu vya Zanzibar
iliyofanyika katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar leo 10-8-2022, wakati
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali
Mwinyi.(hayupo pichani) akizungumza baada ya utiaji wa saini katika viwanja vya
Ikulu
WAKUU wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama Zanzibar
wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) akizungumza katika hafla ya Utiaji
wa Saini Makabidhiano ya “DATA” za Utafutaji wa Mafuta na Gesi Asilia kwa
Vitalu vya Zanzibar, iliyofanyika katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar leo
10-8-2022.
BAADHI ya Watendaji wa SMT na SMZ wakifuatilia
Utiaji wa Saini ya Makabidhiano ya “DATA” za Utafutaji wa Mafuta na Gesi Asilia
kwa Vitalu vya Zanzibar, iliyofanyika katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar
leo 10-8-2022, wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) akizungumza baada ya utiaji wa saini
hiyo iliyofanyika katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar.
BAADHI ya Mawaziri wa Serikali ya Mapinduzi
Zanzibar wakifuatilia Utiaji wa Saini ya Makabidhiano ya “DATA” za
Utafutaji wa Mafuta na Gesi Asilia kwa Vitalu vya Zanzibar, wakati Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo
pichani) akizungumza katika hafla hiyo iliyofanyika katika viwanja vya Ikulu
Jijini Zanzibar leo 10-8-2022.
Picha ma Ikulu.
No comments:
Post a Comment