Defibrillator ni mashine maalum ambayo hutumika wakati wa dharura hutoa mionzi mikali ya umeme ( high energy electrical shocks) ili kumsaidia kwa haraka aliepata mshtuko wa moyo na kupelekea moyo wake kusimama
Zimewekwa kwenye vibanda vya simu ili viwe karibu na watu hasa ikitokea mtu amepatwa ghafla na mshtuko wa moyo. Ni mbadala wa CPR yaani pale tunapojaribu kumbinya kifua mgonjwa ili tuurudishe moyo wake kwenye kusukuma damu.
Hii ni kama huduma ya kwanza huku ukitakiwa kupiga simu 999 kwa ajili ya kuita Ambulance
No comments:
Post a Comment