Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Pemba leo tarehe 09 Januari 2023. Makamu
wa Rais amewasili Kisiwani Pemba kuongoza shughuli za ufunguzi wa Miradi
mbalimbali ya Maendeleo ikiwa ni miongoni mwa shamrashamra za Miaka 59 ya
Mapinduzi ya Zanzibar.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango akisalimiana na viongozi mbalimbali wakati
alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Pemba leo tarehe 09 Januari 2023. Makamu
wa Rais amewasili Kisiwani Pemba kuongoza shughuli za ufunguzi wa Miradi
mbalimbali ya Maendeleo ikiwa ni miongoni mwa shamrashamra za Miaka 59 ya
Mapinduzi ya Zanzibar.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango akisalimiana na viongozi mbalimbali wakati
alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Pemba leo tarehe 09 Januari 2023. Makamu
wa Rais amewasili Kisiwani Pemba kuongoza shughuli za ufunguzi wa Miradi
mbalimbali ya Maendeleo ikiwa ni miongoni mwa shamrashamra za Miaka 59 ya
Mapinduzi ya Zanzibar.
No comments:
Post a Comment