Habari za Punde

Matukio ya Picha Mchezo wa Fainali Kombe la Mapinduzi Cup 2023.Kati ya Mlandege na Singida Big Stars.Timu ya Mlandege Imeibuka Kidedea kwa Ushindi wa Bao 2-1

Mshambuliaji wa Timu ya Singida Big Stars akijaribu kumpita beki wa Timu ya Mlandege katika mchezo wa Fainali ya Kombe la Mapinduzi Cup, mchezo uliofanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar Timu ya Mlandege imeshinda mchezo huo kwa bao 2-1.

















 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.