Mshambuliaji wa Timu ya Singida Big Stars akijaribu kumpita beki wa Timu ya Mlandege katika mchezo wa Fainali ya Kombe la Mapinduzi Cup, mchezo uliofanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar Timu ya Mlandege imeshinda mchezo huo kwa bao 2-1.
DC SHAKA ATOA RAI KWA VIONGOZI WA DINI KUTUMIA NYUMBA ZA IBADA KUJENGA
JAMII YENYE HOFU YA MUNGU
-
Na Mwandishi Wetu, Morogoro
MKUU wa Wilaya ya Kilosa Shaka Hamdu Shaka, amewataka viongozi, Taasisi za
dini kutumia nyumba za ibada kujenga jamii yenye maa...
8 hours ago

No comments:
Post a Comment