Kikosi cha Timu ya Aigle Noir kutoka Nchini Burundi kinachoshiriki Michuano ya 17 ya Kombe la Mapinduzi Zanzibar, katika mchezo wao na Timu ya Chipikizi uliofanyika leo 2-1-2023 katika Uwanja wa Amaan Unguja Timu hizo zimetoka sare ya bao 1--1
Wachezaji wa Timu ya Aigle Noir kutoka Nchini Burundi wakishangilia bao lao la kuongoza lililofungwa kwa peneti na mchezaji Collin Muhindo katika dakika ya 16, katika mchezo huo wa Kombe la Mapinduzi mchezo uliofanyika Uwanja wa Amaan.Timu hizo zimetika sare ya bao 1-1
No comments:
Post a Comment