Shirika la mpira wa miguu Zanzibar ZFF limeingia makuballiamo na kampuni ya Zanzibar Cable Television kuonmyesha na kutangaza michuano ya kombe la FA kwa m,uda wa miaka mitano
Makubaliano hayo yametiwa saini na Rais wa ZFF abdullatif Ali na kiongozi wa ZCTY
No comments:
Post a Comment