Habari za Punde

MAJALIWA AKAGUA UJENZI WA BWENI KATIKA SHULE YA SEKONDARI MARY MAJALIWA WILAYANI RUANGWA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ambaye pia ni Mbunge wa Ruangwa akikagua Mradi wa Ujenzi wa Bweni la Wasichana katika Shule ya Sekondary Mary Majaliwa wilayani Ruangwa mkoa wa lindi Februari 21, 2023. Kulia kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Zainab Telack na wa nne kulia ni mkewe Mary Majaliwa.
Mke wa Waziri Mkuu, Mama Mary Majaliwa akizungumza wakati Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa alipokagua ujenzi wa bweni la wasichana katika Shule ya Sekondary Mary Majaliwa wilayani Ruangwa Mkoa wa Lindi,
Waziri Mkuu na Mbunge wa Ruangwa, Kassim Majaliwa akizungumza na wanafunzi wa Shule ya Sekondari, Mary Majaliwa wilayani Ruangwa  baada ya kukagua ujenzi wa bweni la wasichna shuleni hapo.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.