MBUNGE wa Jimbo la Amani Mhe.Abdul Yussuf Maalim na Mwakilishi wa Jimbo hilo Rukia Omar Mapuri pamoja na madiwani wa wadi za jimbo hilo, wakikabidhi mabati ya kuezeka Maskani ya CCM ya Mjengoni iliyopo Banda la Mkaa Amani.
MBUNGE wa Jimbo la Amani Mhe.Abdul Yussuf Maalim na Mwakilishi wa Jimbo hilo Rukia Omar Mapuri pamoja na madiwani wa wadi za jimbo hilo wakikabidhi vifaa mbali mbali kwa madrassa hizo.
MBUNGE wa Jimbo la Amani Mhe.Abdul Yussuf Maalim akizungumza na wananchi wa jimbo hilo(hawapo pichani) katika ziara yake ya utekelezaji wa Ilani ya CCM ya mwaka 2020/2025.
MBUNGE wa Jimbo la Amani Mhe.Abdul Yussuf Maalim na Mwakilishi wa Jimbo hilo Rukia Omar Mapuri pamoja na madiwani wa wadi za jimbo hilo wakikabidhi jezi kwa timu za jimbo hilo.
MRADI WA MAJI BILIONI 119 KUIFAIDISHA RUANGWA - MAJALIWA
-
*Ashiriki kikao cha kutambulisha miaka miwili ya Rais Samia
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali inakuja na mradi mkubwa wa
maji wenye thamani ya...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment