MBUNGE wa Jimbo la Amani Mhe.Abdul Yussuf Maalim na Mwakilishi wa Jimbo hilo Rukia Omar Mapuri pamoja na madiwani wa wadi za jimbo hilo, wakikabidhi mabati ya kuezeka Maskani ya CCM ya Mjengoni iliyopo Banda la Mkaa Amani.
MBUNGE wa Jimbo la Amani Mhe.Abdul Yussuf Maalim na Mwakilishi wa Jimbo hilo Rukia Omar Mapuri pamoja na madiwani wa wadi za jimbo hilo wakikabidhi vifaa mbali mbali kwa madrassa hizo.
MBUNGE wa Jimbo la Amani Mhe.Abdul Yussuf Maalim akizungumza na wananchi wa jimbo hilo(hawapo pichani) katika ziara yake ya utekelezaji wa Ilani ya CCM ya mwaka 2020/2025.
MBUNGE wa Jimbo la Amani Mhe.Abdul Yussuf Maalim na Mwakilishi wa Jimbo hilo Rukia Omar Mapuri pamoja na madiwani wa wadi za jimbo hilo wakikabidhi jezi kwa timu za jimbo hilo.
VYUO VYA AFYA VYASHAURIWA KUONGEZA UDAHILI WA WANAFUNZI WA KINYWA NA MENO
-
LICHA ya uwekezaji mkubwa uliofanywa na Serikali katika sekta ya afya,
Tanzania bado inakabiliwa na upungufu mkubwa wa wataalamu wa kinywa na
meno, huku ik...
8 minutes ago
No comments:
Post a Comment