Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Mwinyi Ameongoza Mamia ya Wananchi Katika Maziko ya Aliyewahi Kuwa Mbunge wa Jimbo la Donge na Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Marehemu Pembe Juma Kijiji Kwao Donge Chanjani leo

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Viongozi mbalimbali wa Serikali na Vyama vya Siasa, Wananchi na Wanafamilia ya Marehemu Pembe Juma Khamis, katika Sala ya Maiti ya kumuombea Marehemu Pembe Juma Khamis, aliyewahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Donge na Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja, iliyofanyika katika Msikiti wa Donge Chanjani Wilaya ya Kaskazini “B” Unguja, leo 6-3-2023b, iliyoongozwa na Kadhi Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Hassan Othman Ngwali
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Viongozi wa Serikali na Chama,Wananchi na Wanafamilia wa Marehemu Pembe Juma Khamis, wakiitikia dua ya kumuyombea Marehemu Pembe Juma Khamis, aliyewahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Donge na Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja, ikisomwa na Naibu Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Mahmoud Mussa Wadi, baada ya kumalizika kwa Sala ya Maiti iliyofanyika katika Msikiti wa Donge Chanjani Wilaya ya Kaskazini “B” Unguja leo 6-3-2023


RAIS Mstaaf wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Alhajj Ali Hassan Mwinyi akiweka mchanga katika kaburi la Marehemu Pemba Juma Khamis,aliyewahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Donge na Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja. Marehemu Pembe Juma Khamis, maziko yaliyofanyika Kijiji kwao Donge Chanjani Wilaya ya Kaskazini “B” Unguja leo 6-3-2023
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akiweka mchanga katika kaburi la Marehemu Pembe Juma Khamis, aliyewahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Donge na Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja,maziko yaliyofanyika Kijiji kwao Donge Chanjani Wilaya ya Kaskazini “B”Unguja leo 6-3-2023

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi  akishiriki katika kuitikia dua ya kumuombea Marehemu Pembe Juma Khamis, aliyewahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Donge na Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja, maziko yaliyofanyika leo 6-3-2023 Kijiji kwao Donge Chanjani Wilaya ya Kaskazini “B” Unguja na (kushoto kwa Rais) Rais Mstaaf wa Tanzania Alhajj Ali Hassan Mwinyi na (kulia kwa Rais) Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Alhajj Hemed Suleiman Abdulla, ikisomwa na Kadhi Mkuu wa Zanzibar Sheikh Hassan Othman Ngwali
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akitowa mkono wa pole kwa Familia ya Marehemu Pembe Juma Khamis, alipofika nyumbani kwa Marehemu Kijijini kwao Donge Chanjani Wilaya ya Kaskazini “B” Unguja leo 6-3-2023, na (kulia kwa Rais)( Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Alhajj Hemed Suleiman Abdulla na (kushoto kwa Rais)Spika wa Baraza la Wawakilishi Mhe.Zuberi Ali Maulid
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akijumuka na Familia ya Familia ya Marehemu Pembe Juma Khamis,aliyewahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Donge na Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja, wakiitikia dua ya kumuombea Marehemu, ikisomwa na Kadhi Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Hassan Othman Ngwali, alipofika nyumbani kwa maremu Donge Chanjani kutowa mkono wa pole kwa familia leo 6-3-2023.na ( kulia kwa Rais) Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Alhajj Hemed Suleiman Abdulla na (kushoto kwa Rais)Spika wa Baraza la Wawakilishi Mhe.Zuberi Ali Maulid.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akitowa mkono wa pole kwa Majame wa Marehemu Pembe Juma Khamis, alipofika nyumbani kwa Marehemu Kijijini Kwao Donge Chanjani Wilaya ya Kaskazini “B” Unguja leo 6-3-2023, na (kulia kwa Rais) Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Mhe. Ayoub Mohammed Mahmoud
 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.