Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.DkHussein Ali Mwinyi Amefungua Kongamano la Kuadhimisha Miaka 59 ya Muungano wa Zanzibar na Tanganyika Ukumbi wa Sheikh Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Zanzibar.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Prof. Patrick Lumumba na Viongozi wengine alipowasili katika viwanja vya ukumbi wa Sheikh.Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 25-4-2023, kuhudhuria Kongamano la Maadhimisho Miaka 59 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar lililofanyika katika ukumbi huo.

BAADHI ya Mawaziri wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, wakishangilia wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwasili katika ukumbi wa mkutano wa Sheikh.Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar kwa ajili ya kulifungua Kongamano la Maadhimisho ya Miaka 59 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, lililofanyika katika ukumbi huo leo 25-4-2023
MTOA Mada Prof. Patrick Lumumba akisisitiza jamba wakati akiwasilisha Mada yake Umuhimu wa Muungano, Umoja Katika Bara la Afrika (Maadili Yetu Ndio Ngao Yetu) wakati wa Kongamano la Kuadhimisha Miaka 59 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, lililofanyika katika ukumbi wa Sheikh.Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 25-4-2023
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akifuatilia Mada ya Umuhimu wa Muungano Umoja Katika Bara la Afrika (Maadili Yetu Ndio NgaoYetu) ikiwasilishwa na Prof. Patrick Lumumba,katika ukumbi wa Sheikh Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar wakati wa Maadhimisho ya Miaka 59 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar na (kulia kwa Rais) Mhe. Stephen Masatu Wasira na (kushoto kwa Rais) Mkuu wa Mkoa Mjini Magharibi Unguja Mhe.Idrissa Kitwana Mustafa
MTOA Mada Mhe. Stephen Masatu Wasira akiwasilisha Mada yake kuhusu Historia ya Umuhimu wa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, wakati wa Kongamano la Kuadhimisha Miaka 59 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar,lililofanyika katika ukumbi wa Sheikh.Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 25-4-2023
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akipiga makofi kumpongeza Mwasilishaji wa Mada Mhe. Stephen Wasira, wakati akiwasilisha Mada yake katika Kongamano la Kuadhimisha Miaka 59 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, lililofanyika katika ukumbi wa Sheikh.Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 25-4-2023
MTOA Mada Mhe.Balozi Mohammed Haji Hamza akiwasilisha Mada yake kuhusu Fursa Ziliopo kwa Vijana Ndani ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, wakati wa Kongamano la Kuadhimisha Miaka 59 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar,lililofanyika katika ukumbi wa Sheikh.Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 25-4-2023
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia na kulifungua Kongamano la Kuadhimisha Miaka 59 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, lililofanyika katika ukumbi wa Sheikh.Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 25-4-2023
MAWAZIRI wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) wakifuatilia hutuba ya ufunguzi wa Kongamano la Kuadhimisha Miaka 59 ya Muungano wa Zanzibar na Tanganyika, wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinbduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia na kulifungua Kongamano hilo lililofanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar 
BAADHI ya Wanafunzi mbalimbali na Wananchi wakishiriki katika Kongamano la Kuadhimisha Miaka 59 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar,lililofanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 25-4-2023, wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyeki wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) akihutubia na kulifungua Kongamano hilo lililofanyika katika ukumbi huo
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia na kulifungua Kongamano la Kuadhimisha Miaka 59 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, lililofanyika katika ukumbi wa Sheikh.Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 25-4-2023.
BAADHI ya Viongozi wa Vyama Vya Siasa wakifuatilia hutuba ya ufunguzi wa Kongamano la Maadhimisho ya Miaka 59 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar lililofanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiagana na Prof. Patrick Lumumba baada ya kulifungua Kongamano la Kuadhimisha Miaka 59 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, lililofanyika katika ukumbi wa Sheikh.Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 25-4-2023 na (kulia kwa Rais) Mhe. Stephen Wasira. 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.