Wananchi wa Jiji la Zanzibar wakiwa katika harakati za kujipatia mahitaji ya Samaki kwa ajili ya kitoweo katika mlo na matumizi mengine, kama inavyoonekana pichani wakiwa katika Soko kuu la Samaki Malindi Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar.
DC Ilala Aagiza Polisi Kuwakamata Wauaji wa Salehe Iddi Salehe
-
Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo, ameliagiza Jeshi la Polisi Wilaya
ya Kipolisi Ilala, kupitia Kamanda wake ACP Yustino Mgonja, kuhakikisha
lina...
10 hours ago



0 Comments