Wananchi wa Jiji la Zanzibar wakiwa katika harakati za kujipatia mahitaji ya Samaki kwa ajili ya kitoweo katika mlo na matumizi mengine, kama inavyoonekana pichani wakiwa katika Soko kuu la Samaki Malindi Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar.
CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA LINDI MWAMBAO CHAKABIDHI PIKIPIKI KWA AMCOS
KUIMARISHA UTENDAJI
-
Chama Kikuu cha Ushirika Lindi Mwambao kimeendelea kuimarisha utendaji wa
vyama vyake vya msingi (AMCOS) kwa kukabidhi pikipiki 32 kwa ajili ya
kurahisisha...
21 minutes ago



0 Comments