Wananchi wa Jiji la Zanzibar wakiwa katika harakati za kujipatia mahitaji ya Samaki kwa ajili ya kitoweo katika mlo na matumizi mengine, kama inavyoonekana pichani wakiwa katika Soko kuu la Samaki Malindi Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar.
BOTRA Yafanya Mkutano Mkuu wa Mwaka, Yajadili Maisha ya Wastaafu na
Mustakabali wa Wanachama
-
*Dar es Salaam, Tanzania* – Chama cha Wastaafu wa Benki Kuu ya Tanzania
(BOTRA) kimefanya mkutano wake mkuu wa mwaka ukiwa na lengo la kujadili
maende...
10 minutes ago
No comments:
Post a Comment