Wananchi wa Jiji la Zanzibar wakiwa katika harakati za kujipatia mahitaji ya Samaki kwa ajili ya kitoweo katika mlo na matumizi mengine, kama inavyoonekana pichani wakiwa katika Soko kuu la Samaki Malindi Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar.
WALEMAVU WA MACHO WAPEWE FURSA KAMA WATU WENGINE
-
Na Linda Akyoo -Moshi
Mratibu wa Chama cha Wasioona Tanzania kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi
Ajira vijana na wenye ulemavu Kizito Lucas Wambura,amefanya u...
18 minutes ago
No comments:
Post a Comment