Wananchi wa Jiji la Zanzibar wakiwa katika harakati za kujipatia mahitaji ya Samaki kwa ajili ya kitoweo katika mlo na matumizi mengine, kama inavyoonekana pichani wakiwa katika Soko kuu la Samaki Malindi Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar.
MSAFARA WA BAISKELI WA TWENDE BUTIAMA 2025 WAANZA RASMI KUTOKA DAR ES SALAAM
-
Dar es Salaam, Julai 2, 2025
Msafara wa baiskeli wa Twende Butiama mwaka 2025 umeanza rasmi leo jijini
Dar es Salaam, ukiwa na waendesha baiskeli zaidi ya ...
47 minutes ago
No comments:
Post a Comment