Wananchi wa Jiji la Zanzibar wakiwa katika harakati za kujipatia mahitaji ya Samaki kwa ajili ya kitoweo katika mlo na matumizi mengine, kama inavyoonekana pichani wakiwa katika Soko kuu la Samaki Malindi Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar.
HAKI ELIMU : BAJETI YA MWAKA WA FEDHA 2024/2025 IZINGATIE DIRA YA TAIFA 2050
-
NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV
TAASISI ya HakiElimu imependekeza kwa Serikali kupitia Wizara ya Elimu
kutenga Bajeti mahususi kwaajili ya kuhuisha mpango ...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment