Habari za Punde

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan aongoza Kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Mkoani Dodoma

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu. Samia Suluhu Hassan, akiongoza Kikao cha Halmashauri Kuu ya  CCM Taifa (NEC) kilichofanyika katika Ukumbi wa Halmashauri Kuu (White House) Makao Makuu Mkoani Dodoma, tarehe 22 Mei, 2023. 



No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.