Mkurugenzi wa chama cha Waandishi wa Habari Wanawake (TAMWA) Zanzibar Dkt.Mzuri Issa akizungumza na wakuu wa madawati ya kijinsia katika vyombo vya habari , na wahariri wa vyombo vya habari wakati walipokua katika mkutano maalum wa kuthibitisha na kutoa maoni kuhusiana na sera ya kijinsia kutumika katika vyombo vya habari huko Ofisi za TAMWA Tunguu Zanzibar
Mkurugenzi wa chama cha Waandishi wa Habari Wanawake (TAMWA) Zanzibar Dkt.Mzuri Issa akizungumza na wakuu wa madawati ya kijinsia katika vyombo vya habari , na wahariri wa vyombo vya habari wakati walipokua katika mkutano maalum wa kuthibitisha na kutoa maoni kuhusiana na sera ya kijinsia kutumika katika vyombo vya habari huko Ofisi za TAMWA Tunguu Zanzibar
Mkufunzi Chuo Kikuu cha Taifa Suza Imane Duwe akizungumza wakati alipokua akiwasilisha sera ya jinsia kwa wakuu wa madawati ya kijinsia katika vyombo vya habari na wahariri wa vyombo vya habari wakati walipokua katika mkutano maalum wa kuthibitisha na kutoa maoni kuhusiana na sera ya kijinsia kutumika katika vyombo vya habari huko Ofisi za TAMWA Tunguu Zanzibar.
No comments:
Post a Comment