Katibu Mkuu Wizara ya Afya Zanzibar Dkt Fatma Mrisho amesema iwapo kutakuwa na usimamizi na ukaguzi kwa Wauguzi na Wakunga katika sehemu zao za kazi kutaondokana na malalamiko kwa wananchi wanaofika kupata huduma za afya. Hivyo ameutaka Uongozi wa Idara ya Uuguzi na Ukunga kusimamia na kufanya Ukaguzi wa mara kwa mara katika Mahospitali na Vituo vya Afya ili wafanyakazi waweze kutoa huduma zenye ubora.
MAHAFALI YA 48 YA BODI YA NBAA YAFANA
-
Wahitimu wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (NBAA) wakiwa
kwenye maadamano ya kitaaluma wakati wa mahafali ya 48 ya Bodi hiyo
yaliyofanyik...
-
*WAZIRI KOMBO AKUTANA NA BALOZI WA JAMHURI YA ZIMBABWE, HELEN BAWANGE
DINGANI*
*Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi
M...
0 Comments