Wanafunzi mbalimbali wakijitokeza kupata taaluma za namna ya kujiunga na Elimu ya Juu ikiwa ni siku ya nne ya maonesho ya 4 ya wiki ya Elimu ya Juu huko Maisara Mkoa wa Mjini Magharib Unguja.
MWENYEKITI CCM KATA YA PICHA YA NDEGE AMPA 'TANO' RAIS DKT. SAMIA KUTENGA
FEDHA ZA KUCHOCHEA MAENDELEO
-
VICTOR MASANGU, KIBAHA
Mwenyekiti wa Chama cha mapinduzi (CCM) Kata ya picha ya ndege Grace
Jungulu amempongeza kwa dhati Rais wa awamu ya sita Dkt. Samia ...
32 minutes ago
No comments:
Post a Comment