Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Mwinyi Ahudhuria Hafla ya Kuapishwa kwa Mawaziri,Manaibu Mawaziri,Mabalozi na Makatibu Wakuu Ikulu Ndogo Tunguu Wilaya ya Kati Unguja leo 1-9-2023

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Viongozi Wakuu wa Serikali, katika hafla ya kuapishwa kwa Mawaziri na Makatibu Wakuu waliochaguliwa hivi karibuni, hafla hiyo ya kuapishwa iliyofanyika Ikulu Ndogo Tunguu Wilaya ya Kati Unguja leo 1-9-2023, na (kushoto kwa Rais) Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Philip Isdor Mpango na (kulia kwa Rais) Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa, Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla, Spika wa Bunge la Tanzania Mhe.Dkt.Tulia Ackson,Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Prof.Ibrahim Hamis Juma, Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt.Moses M. Kusiluka na Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said


RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza wakati wa hafla ya kuapishwa kwa Mawaziri,Mabalozi na Makatibu Wakuu katika viwanja vya Ikulu Ndogo Tunguu Wilaya ya Kati Unguja leo 1-9-2023
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan akizungumza baada ya kuwaapisha Mawaziri, Manaibu Mawaziri, Mabalozi na Makatibu Wakuu, katika viwanja vya Ikulu Ndogo Tunguu Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja leo 1-9-2023.
WAGENI Waalikwa Viongozi wa Serikali na Vyama vya Siasa wakifuatilia kuapishwa kwa Mawaziri, Mabalozi na Makatibu Wakuu, iliyofanyika katika viwanja vya Ikulu Ndogo Tunguu Wilaya ya Kati Unguja leo 1-9-2023, wakati Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan akiwaapisha
WAGENI Waalikwa Viongozi wa Serikali na Vyama vya Siasa wakifuatilia kuapishwa kwa Mawaziri, Mabalozi na Makatibu Wakuu, iliyofanyika katika viwanja vya Ikulu Ndogo Tunguu Wilaya ya Kati Unguja leo 1-9-2023, wakati Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan akiwaapisha

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan akielekea katika eneo lililoandaliwa kwa ajili ya upigaji wa picha za kumbukumbu baada ya kumaliza kuwaapisha Viongozi aliowachagua hivi karibuni na (kulia kwa Rais) Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Philip Isdor Mpango na (kushoto kwa Rais) Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, hafla hiyo iliyofanyika katika viwanja vya Ikulu Ndogo Tunguu Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja leo 1-9-2023.

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan akielekea katika eneo lililoandaliwa kwa ajili ya upigaji wa picha za kumbukumbu baada ya kumaliza kuwaapisha Viongozi aliowachagua hivi karibuni na (kulia kwa Rais) Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Philip Isdor Mpango na (kushoto kwa Rais) Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, hafla hiyo iliyofanyika katika viwanja vya Ikulu Ndogo Tunguu Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja leo 1-9-2023.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na kumpongeza Naibu Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (Uratibu wa Shughuli za Serikali) na Waziri wa Nishati Tanzania.Mhe.Dkt.Doto Mashaka Biteko, baada ya kuapishwa leo 1-9-2023, na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan,hafla hiyo iliyofanyika katika viwanja vya Ikulu Ndogo Tunguu Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiagana na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan, baada ya kumalizika kwa uapisho kwa Mawaziri,Manaibu Mawaziri,Mabalozi na Makatibu Wakuu walioteuliwa hivi karibuni, halha hiyo iliyofanyika katika viwanja vya Ikulu Ndogo Tunguu Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja leo 1-9-2023.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.