Habari za Punde

Ligi Kuu ya Zanzibar "PBZ Premier League 2023-2024" Kati ya Uhamiaji na Malindi.Mchezo huo umetoka Sare ya 0-0

 

Golikipa wa Timu ya Malindi akipanga mabeki wake ili kuumarisha ukuta wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar "PBZ Premier Leagu 2023-2024" mchezo uiofanyika katika Uwanja wa Mao Zedung. Timizo za Malindi na Uhamiaji zimetoka sare ya bila. 









No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.