Habari za Punde

Mchezo wa Kombe la Mapinduzi 2023/2024 Kati ya Timu ya Singida na JKU Mchezo Uliofanyika Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar Timu ya Singida Imeshinda Mchezo huo kwa Bao.4-1

Mshambuliaji wa Timu ya Singida Elvis Rupia akimiliki mpira wakati wa mchezo wao wa Kombe la Mapinduzi Cup 2023/2024, mchezo uliofanyika katika Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar, katika mchezo huo Timu ya Singida imeshinda kwa bao 4-1.  






 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.