Mshambuliaji wa Timu ya Singida Elvis Rupia akimiliki mpira wakati wa mchezo wao wa Kombe la Mapinduzi Cup 2023/2024, mchezo uliofanyika katika Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar, katika mchezo huo Timu ya Singida imeshinda kwa bao 4-1.
MICHANGO ISIZUIE MTOTO KUPATA ELIMU
-
Na Angela Msimbira, NZEGA
NAIBU Waziri, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe.
Zainab Katimba amesisitiza kuwa uchangiaji katika sekta ya...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment