Mshambuliaji wa Timu ya Singida Elvis Rupia akimiliki mpira wakati wa mchezo wao wa Kombe la Mapinduzi Cup 2023/2024, mchezo uliofanyika katika Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar, katika mchezo huo Timu ya Singida imeshinda kwa bao 4-1.
JUBILEE INSURANCE YAWAPATIA WANAFUNZI SHULE YA MSINGI MERU-ARUSHA BIMA YA
AFYA BURE
-
Na Mwandishi Wetu,Arusha.
Jubilee Insurance kupitia kampuni zake za Bima ya Afya na Maisha imezindua
mpango wakusaidia jamii kwa kuwapatia wanafunzi 10 ...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment