Habari za Punde

Ufunguzi wa Uwanja wa Amaan Complex Zanzibar Kati ya Timu ya Taifa ya Zanzibar na Tanzania Bara Mchezo Uliofanyika Jana Usiku Timu Hizo Zimetoka Sare ya Bila Kufungana.

 

Beki wa Timu ya Taifa ya Zanzibar Ibrahim Bacca akimiliki mpira  wakati wa mchezo maalum wa ufunguzi wa Uwanja wa Amaan Complex Zanzibar uliofanyika jana usiku baada ya kufunguliwa Uwanja huo ikiwa ni Shamrashamra za Miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.Timu hizo zimetoka sara ya bila kufungana.



















No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.