Beki wa Timu ya Taifa ya Zanzibar Ibrahim Bacca akimiliki mpira wakati wa mchezo maalum wa ufunguzi wa Uwanja wa Amaan Complex Zanzibar uliofanyika jana usiku baada ya kufunguliwa Uwanja huo ikiwa ni Shamrashamra za Miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.Timu hizo zimetoka sara ya bila kufungana.
VIONGOZI CHADEMA WAMPONGEZA RAIS DKT. SAMIA KWA KUWATEUWA VIONGOZI BORA
SAME..
-
NA WILLIUM PAUL, SAME.
KATIBU wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), katika Jimbo la Same
magharibi, Aika Ngowi amempongeza Rais Dkt. Samia Sulu...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment