Beki wa Timu ya Taifa ya Zanzibar Ibrahim Bacca akimiliki mpira wakati wa mchezo maalum wa ufunguzi wa Uwanja wa Amaan Complex Zanzibar uliofanyika jana usiku baada ya kufunguliwa Uwanja huo ikiwa ni Shamrashamra za Miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.Timu hizo zimetoka sara ya bila kufungana.
NGORONGORO YAWEZESHA VIKUNDI VYA KINAMAMA KUFANYA ZIARA YA MAFUNZO NDANI YA
HIFADHI
-
Na Mwandishi wetu, Ngorongoro.
Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) kupitia Idara ya Maendeleo ya Jamii
imewawezesha wakinamama 84 kutoka Kata ya Gan...
1 hour ago

















0 Comments