Beki wa Timu ya Taifa ya Zanzibar Ibrahim Bacca akimiliki mpira wakati wa mchezo maalum wa ufunguzi wa Uwanja wa Amaan Complex Zanzibar uliofanyika jana usiku baada ya kufunguliwa Uwanja huo ikiwa ni Shamrashamra za Miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.Timu hizo zimetoka sara ya bila kufungana.
RC CHALAMILA ATANGAZA KUSIMAMA KWA HUDUMA YA MABASI YA MWENDAKASI MBAGALA
NA KIMARA
-
Na Humphrey Shao, Michuzi tv
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila ametangaza kuwa kwa sasa
huduma ya Mabasi ya Mwendokasi katika barabara ya Mo...
3 hours ago


















No comments:
Post a Comment