Beki wa Timu ya Taifa ya Zanzibar Ibrahim Bacca akimiliki mpira wakati wa mchezo maalum wa ufunguzi wa Uwanja wa Amaan Complex Zanzibar uliofanyika jana usiku baada ya kufunguliwa Uwanja huo ikiwa ni Shamrashamra za Miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.Timu hizo zimetoka sara ya bila kufungana.
MHE. RAIS SAMIA APONGEZWA KUTEKELEZA MKAKATI WA TAIFA WA NISHATI SAFI YA
KUPIKIA KWA VITENDO
-
-Mitungi ya gesi 330 kugaiwa bure kwa Watumishi Magereza Simiyu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
amepongezwa kwa kute...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment