Habari za Punde

Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Mwinyi Amejumuika na Viongozi wa UVCCM Katika Dhifa Maalum Aliyowaandalia Katika Viwanja vya Ikulu Zanzibar

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi na (kushoto kwa Rais) Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi, akiwa na Viongozi wa CCM na UVCCM, wakiwa katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar, wakati ukipigwa Wimbo wa Taifa na wa Afrika Mashariki kabla ya kuaza kwa hafla ya dhifa maalum aliyowaandalia Vijana wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar jana usiku 9-1-2024
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu Zanzibar Mhe.Jamal Kassim Ali akiwa na Viongozi wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) wakiwa katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar wakati ukipigwa wimbo wa Taifa na wa Afrika Mashariki kabla ya kuaza kwa hafla ya dhifa maalum ya chakula cha usiku iliyoandaliwa na Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe Dk.Hussein Ali Mwinyi iliyofanyika katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar
MWENYEKITI wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa Ndg. Mohammed Ali Kawaida akizungumza kabla ya kumkaribisha Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi kuzungumza na Vijana wa (UVCCM) katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar, wakati wa hafla maalum aliyowaandalia jana usiku 9-1-2024.
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Viongozi wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar, wakati wa hafla ya dhifa maalum ya chakula cha usiku aliyowaandalia jana usiku 9-1-2024 katika viwanja vya Ikulu Zanzibar.
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Viongozi wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar, wakati wa hafla ya dhifa maalum ya chakula cha usiku aliyowaandalia jana usiku 9-1-2024 katika viwanja vya Ikulu Zanzibar
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu Zanzibar Mhe. Jamali Kassim Ali akiwa na Viongozi wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) wakimsikiliza Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi. Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akizungumza na Viongozi wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar jana usiku 9-1-2024, katika dhifa maalum ya chakula cha usiku kilichofanyika katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar
VIONGOZI wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) wakimsikiliza Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi. Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akizungumza na Viongozi wa Jumuiya hiyo, katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar jana usiku 9-1-2024, wakati wa hafla ya  dhifa maalum ya chakula cha usiku alichowaandalia katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi wa Chupikizi Taifa (kulia kwake ) Mwenyekiti wa Chupikizi Taifa Ndg. Qayllah Nassor Bilal na (kushoto kwake) Makamu Mwenyekiti wa Chupukizi Taifa Ndg.Atka Juma Hassan, baada ya kumalizika kwa dhifa maalum ya chakula kilichoandaliwa na Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar jana usiku 9-1-2024
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na kuagana na Makamu Mwenyekiti wa Chupukizi Taifa Ndg. Atka Juma Hassan, baada ya kumalizika kwa hafla maalum ya chakula cha usiku alichowaandalia Viongozi wa (UVCCM) katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar jana usiku 9-1-2024.
VIONGOZI wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) wakiwa katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar wakishangilia wakati Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Viongozi hao, wakati wa dhifa maalum ya chakula cha usiku alichowaandalia jana usiku katika viwanja vya Ikulu Zanzibar jana 9-1-2024
 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.