Mkurugenzi Mkuu wa City College of Health Ilala Shambani Mwanga akimkabidhi zawadi Mchezaji wa Timu ya Singida FG. Kelvin Kijili baada ya kuibuka Mchezaji mwenye nidhamu katika mchezo wa Kombe la Mapinduzi Cup 2023/2024, dhidi ya Timu ya Simba mchezo uliyofanyika Uwanja wa Amaan Complex Zanzibar katika mchezo huo Timu ya Simba imeshinda kwa bao 2-0.
Tanzia : Rais Dkt. Samia Atangaza Kifo cha Mhe. William Lukuvi
-
Wazalendo 25 Blog , is a Social Media which gives our Audience current
News, Entertainment and Advertisements.
4 hours ago

0 Comments