Mkurugenzi Mkuu wa City College of Health Ilala Shambani Mwanga akimkabidhi zawadi Mchezaji wa Timu ya Singida FG. Kelvin Kijili baada ya kuibuka Mchezaji mwenye nidhamu katika mchezo wa Kombe la Mapinduzi Cup 2023/2024, dhidi ya Timu ya Simba mchezo uliyofanyika Uwanja wa Amaan Complex Zanzibar katika mchezo huo Timu ya Simba imeshinda kwa bao 2-0.
Nafasi ya Kuibuka Milionea Ipo Leo
-
NI Ijumaa nyingine tena ya kutusua kijanja na wakali wa ubashiri
Meridianbet. Mechi za ligi mbalimbali zinatarajiwa kuendelea leo, hivyo
suka jamvi lako ...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment