Mkurugenzi Mkuu wa City College of Health Ilala Shambani Mwanga akimkabidhi zawadi Mchezaji wa Timu ya Singida FG. Kelvin Kijili baada ya kuibuka Mchezaji mwenye nidhamu katika mchezo wa Kombe la Mapinduzi Cup 2023/2024, dhidi ya Timu ya Simba mchezo uliyofanyika Uwanja wa Amaan Complex Zanzibar katika mchezo huo Timu ya Simba imeshinda kwa bao 2-0.
NAIBU KATIBU MKUU ZUHURA ARIDHISHWA NA MAANDALIZI YA KILELE CHA MBIO ZA
MWENGE WA UHURU 2025 MBEYA
-
Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye
Ulemavu Zuhura Yunus akizungumza na Wajumbe wa Kamati ya Mkoa wa Mbeya
wakati wa zia...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment