Mkurugenzi Mkuu wa City College of Health Ilala Shambani Mwanga akimkabidhi zawadi Mchezaji wa Timu ya Singida FG. Kelvin Kijili baada ya kuibuka Mchezaji mwenye nidhamu katika mchezo wa Kombe la Mapinduzi Cup 2023/2024, dhidi ya Timu ya Simba mchezo uliyofanyika Uwanja wa Amaan Complex Zanzibar katika mchezo huo Timu ya Simba imeshinda kwa bao 2-0.
Mpina, Fatma Wateuliwa Rasmi Kugombea Urais Kupitia ACT-Wazalendo
-
*Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam*
*Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Jaji wa Mahakama ya
Rufaa Jacobs Mwambegele, amewakabidhi fomu...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment