Mshambuliaji wa Timu ya Simba akiwapita mabeki wa Timu ya JKU wakati wa mchezo wao wa Kombe la Mapinduzi Cup 2023/2024 mchezo uliofanyika katika Uwanja wa Amaan Complex Zanzibar jana usiku 1-1-2024.Timu ya Shimba imeshinda mchezo huo kwa bao 3-1.
MICHANGO ISIZUIE MTOTO KUPATA ELIMU
-
Na Angela Msimbira, NZEGA
NAIBU Waziri, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe.
Zainab Katimba amesisitiza kuwa uchangiaji katika sekta ya...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment