Mshambuliaji wa Timu ya Simba akiwapita mabeki wa Timu ya JKU wakati wa mchezo wao wa Kombe la Mapinduzi Cup 2023/2024 mchezo uliofanyika katika Uwanja wa Amaan Complex Zanzibar jana usiku 1-1-2024.Timu ya Shimba imeshinda mchezo huo kwa bao 3-1.
PUMA ENERGY TANZANIA YAZINDUA KITUO KIPYA CHA MAFUTA MKOA WA SINGIDA
-
Na Mwandishi Wetu
Puma Energy Tanzania imezindua rasmi kituo chake kipya cha mafuta katika
Mkoa wa Singida, hatua inayoonyesha dhamira yake ya kupanua up...
25 minutes ago
No comments:
Post a Comment