Mshambuliaji wa Timu ya Simba akiwapita mabeki wa Timu ya JKU wakati wa mchezo wao wa Kombe la Mapinduzi Cup 2023/2024 mchezo uliofanyika katika Uwanja wa Amaan Complex Zanzibar jana usiku 1-1-2024.Timu ya Shimba imeshinda mchezo huo kwa bao 3-1.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe..Dkt. Samia Suluhu Hassan
Amemuapisha Mhe. Hamza Johari Kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
akimuapisha Bw. Hamza Saidi Johari kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali kwenye
hafla...
4 hours ago







No comments:
Post a Comment