Mshambuliaji wa Timu ya Simba akiwapita mabeki wa Timu ya JKU wakati wa mchezo wao wa Kombe la Mapinduzi Cup 2023/2024 mchezo uliofanyika katika Uwanja wa Amaan Complex Zanzibar jana usiku 1-1-2024.Timu ya Shimba imeshinda mchezo huo kwa bao 3-1.
Mwanamuziki wa Injili Rehema Simfukwe atoboa siri kuimba wimbo wa Chanzo
-
Na Mwandishi Wetu
MWANAMUZIKI maarufu katika Muziki wa Injili nchini Rehema Simfukwe amevunja
ukimya kwa mara ya kwanza kwa kuamua kutoa sababu za kut...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment