Habari za Punde

Timu ya Jamhuri Yaibuka Kidedea Michuano wa Mapinduzi Cup 2023/2024 Kwa Kuifunga Jamhs Bao 2-1 Mchezo Uliofanyika Uwanja wa Amaan Complex 5-1-2024

Wachezaji wa Timu ya Jamhuri wakishangilia bao lao la Pili la ushindi dhidi ya Timu ya Jamus lililofungwa na mshambuliaji wake Abdillah Ramadhani katika dadika ya 65 ya mchezo huo kipindi cha pili.Katika mchezo huo Timu ya Jamhuri imeshinda kwa bao 2-1.
Timu ya Jamhuri imefanikiwa vkuingia robo Fainali ya Michuano ya Kombe la Mapinduzi Cup 2023/2024.





 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.