Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe Dk.Hussein Mwinyi Azungumza na Balozso Mdogo wa China Zanzibar Ikulu

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussei Ali Mwinyi (kulia) akisalimiana na  Balozi Mdogo wa China hapa Zanzibar Mhe.Zhang Zhisheng, wakati   alipofika kumuaga Rais, Ikulu Jijini Zanzibar leo akiwa amemaliza muda wake wa kazi hapa Nchini
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussei Ali Mwinyi (katikati) akizungumza na   Balozi Mdogo wa China hapa Zanzibar Mhe.Zhang Zhisheng (wa pili kushoto)  alipofika kuaga Ikulu Jijini Zanzibar leo akimaliza muda wake wa kazi hapa nchini
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussei Ali Mwinyi (kulia) akimkabidhi zawadi ya Mlango wa Zanzibar   Balozi Mdogo wa China hapa Zanzibar Mhe.Zhang Zhisheng, baada ya mazungumzo yao leo alipofika kuaga Ikulu Jijini Zanzibar akimaliza muda wake wa kazi

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussei Ali Mwinyi (kulia) akiwa katika picha na Balozi Mdogo wa China hapa Zanzibar Mhe.Zhang Zhisheng baada ya mazungumzo yao leo alipofika kuaga Ikulu Jijini Zanzibar.
Picha na Ikulu.
 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.