Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akikabidhiwa Kitabu cha Safari ya Miaka 60 ya Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania katika Picha na Balozi wa Tanzania nchini Italia ambaye ni mmoja wa
Waandaaji wa Kitabu hicho Mhe. Mahmoud Thabit Kombo. Makabidhiano hayo
yamefanyika OfisiNI kwa Makamu wa Rais mkoani Dodoma.
KATIBU MKUU CCM DK. MIGIRO AUNGURUMA DAR… ATOA MAELEKEZO UTOAJI MAELEKEZO
-
-Pia azungumzia nguvu ya wanachama walioko katika mashina,matawi
-Asisitiza nafasi ya wazee katika kutoa elimu ya itikadi kwa vijana
KATIBU Mkuu wa Chama C...
5 hours ago
.jpg)
.jpg)
0 Comments