Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akikabidhiwa Kitabu cha Safari ya Miaka 60 ya Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania katika Picha na Balozi wa Tanzania nchini Italia ambaye ni mmoja wa
Waandaaji wa Kitabu hicho Mhe. Mahmoud Thabit Kombo. Makabidhiano hayo
yamefanyika OfisiNI kwa Makamu wa Rais mkoani Dodoma.
Maonyesho ya ISUZU Yahitimishwa kwa mafanikio Dodoma, Wabunge, Wadau wa
Usafirishaji watia neno.
-
Maonyesho ya siku tatu yaliyoandaliwa na kampuni ya Al Mansour Auto EA
Tanzania, kuangazia teknolojia za kisasa za usafiri na muktadha mzuri wa
magari ya...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment