Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Mhandisi Hamad Masauni akishiriki mazishi ya Kiongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo,Marehemu Ali Mohamed Kibao aliyetekwa na kukutwa ameuawa siku chache zilizopita ambapo amzishi yake yamefanyika leo jijini Tanga.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
VIJANA TANGA WAPIGA HATUA ZA KIMAENDELEO KWA KUWEZESHWA NA TADB NA
SOLIDARIDAD KUPITIA UFUGAJI
-
Vijana wameendelea kupiga hatua za kimaendeleo Mkoani Tanga Kupitia ufugaji
wa ng'ombe wa Maziwa waliowezeshwa na Benki ya Maendeleo ya Kilimo (TADB)
kwa k...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment