Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Mhandisi Hamad Masauni akishiriki mazishi ya Kiongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo,Marehemu Ali Mohamed Kibao aliyetekwa na kukutwa ameuawa siku chache zilizopita ambapo amzishi yake yamefanyika leo jijini Tanga.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
MZUMBE YAJIPANGA KUJITANUA KIMATAIFA
-
FARIDA MANGUBE , MOROGORO
Chuo Kikuu Mzumbe kimejipanga kujitanua kimataifa kwa kuongeza ushirikiano
wa kimataifa, kuboresha mitaala na kupokea wanafunzi...
27 minutes ago

No comments:
Post a Comment