MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)
Zanzibar ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, akizindua Kampeni ya “Mazazi Mshike Mwanao”wakati wa hafla ya Uzinduzi wa
Kongamano la Jumuiya ya Wazazi Tanzania la kumpongeza Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi kutimiza Miaka
Minne ya Uongozi wa Serikali ya Awamu Nane, lililofanyika katika viwanja vya
Hoteli ya Verde Mtoni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 22-10-2024.
MWENGE WA UHURU WAZINDUA KITUO CHA POLISI NYAKITONTO KWA AJILI YA KUONGEZA
USALAMA
-
Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Ismail Alli Issu, amesema
uwepo wa miradi mingi yenye thamani kubwa katika Halmashauri ya Wilaya ya
Kasulu ni...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment