Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Viongozi mbalimbali wa Serikali alipowasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume, akitokea Pemba kuhudhuria Sherehe za Maadhimisho ya Miaka 61 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, zilizofanyika katika Uwanja wa Gombani Chakechake Pemba 12, Januari 2025.
MHE. RAIS SAMIA APONGEZWA KUTEKELEZA MKAKATI WA TAIFA WA NISHATI SAFI YA
KUPIKIA KWA VITENDO
-
-Mitungi ya gesi 330 kugaiwa bure kwa Watumishi Magereza Simiyu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
amepongezwa kwa kute...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment