Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Viongozi mbalimbali wa Serikali alipowasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume, akitokea Pemba kuhudhuria Sherehe za Maadhimisho ya Miaka 61 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, zilizofanyika katika Uwanja wa Gombani Chakechake Pemba 12, Januari 2025.
SERIKALI YA MTAA MUUNGANO YAGUSA MAHITAJI YA WANANCHI
-
NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV
SERIKALI ya Mtaa wa Muungano Marobo kata ya Goba Wilayani Ubungo, Jijini
Dar es salaam imepiga hatua kubwa ndani ya miezi m...
37 minutes ago
No comments:
Post a Comment