Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Mwinyi Amewasili Unguja Akitokea Pemba Kuhudhuria Sherehe za Miaka 61 ya Mapinduzi ya Zanzibar Zilizofanyika Uwanja wa Gombani Chakechake

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Viongozi mbalimbali wa Serikali  alipowasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume, akitokea Pemba kuhudhuria Sherehe za Maadhimisho ya Miaka 61 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, zilizofanyika katika Uwanja wa Gombani Chakechake Pemba 12, Januari 2025.


No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.