Habari za Punde

Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan aendelea na Ziara yake ya Kikazi Bumbuli,Lushoto Mkoani Tanga

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akivuta kitambaa kuashiria ufunguzi jengo la Halmashauri ya Wilaya ya Bumbuli katika muendelezo wa ziara yake ya kikazi Lushoto mkoani Tanga tarehe 24 Februari, 2025.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akikata utepe kuashiria ufunguzi jengo la Halmashauri ya Wilaya ya Bumbuli katika muendelezo wa ziara yake Lushoto mkoani Tanga tarehe 24 Februari, 2025.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na wananchi wa Bumbuli, wilayani Lushoto katika muendelezo wa ziara yake mkoani Tanga tarehe 24 Februari, 2025.




 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.