Waziri Mkuu, Kasssim Majaliwa akimkabidhi zawadi ya Dola za Marekani 6000, Mohammed Yacine kutoka Algeria (kushoto kwake ) ambaye alikuwa mshindi wa kwanza wa kilele cha Tuzo za 33 za Kimataifa za kuhifadhi Qurani Tukufu kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es salaam, Februari 23, 2025. Kushoto ni Sheikh Mkuu na Mufti wa tanzania, Dkt Abubakar Zubeir Ally. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu
SALAMU ZA PONGEZI KWA MHESHIMIWA HAMZA SAIDI JOHARI
-
CHAMA cha Mawakili wa Serikali kinatoa Pongezi za dhati kwa Mheshimiwa
Hamza Saidi Johari kwa kuaminiwa na kuteuliwa kwa Mara ya pili mfululizo
kuwa Mw...
2 hours ago

No comments:
Post a Comment