Waziri Mkuu, Kasssim Majaliwa akimkabidhi zawadi ya Dola za Marekani 6000, Mohammed Yacine kutoka Algeria (kushoto kwake ) ambaye alikuwa mshindi wa kwanza wa kilele cha Tuzo za 33 za Kimataifa za kuhifadhi Qurani Tukufu kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es salaam, Februari 23, 2025. Kushoto ni Sheikh Mkuu na Mufti wa tanzania, Dkt Abubakar Zubeir Ally. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu
KATIBU MKUU CCM DK. MIGIRO AUNGURUMA DAR… ATOA MAELEKEZO UTOAJI MAELEKEZO
-
-Pia azungumzia nguvu ya wanachama walioko katika mashina,matawi
-Asisitiza nafasi ya wazee katika kutoa elimu ya itikadi kwa vijana
KATIBU Mkuu wa Chama C...
2 hours ago
0 Comments