Waziri Mkuu, Kasssim Majaliwa akimkabidhi zawadi ya Dola za Marekani 6000, Mohammed Yacine kutoka Algeria (kushoto kwake ) ambaye alikuwa mshindi wa kwanza wa kilele cha Tuzo za 33 za Kimataifa za kuhifadhi Qurani Tukufu kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es salaam, Februari 23, 2025. Kushoto ni Sheikh Mkuu na Mufti wa tanzania, Dkt Abubakar Zubeir Ally. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu
JUBILEE INSURANCE YAWAPATIA WANAFUNZI SHULE YA MSINGI MERU-ARUSHA BIMA YA
AFYA BURE
-
Na Mwandishi Wetu,Arusha.
Jubilee Insurance kupitia kampuni zake za Bima ya Afya na Maisha imezindua
mpango wakusaidia jamii kwa kuwapatia wanafunzi 10 ...
59 minutes ago
No comments:
Post a Comment