Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi Mgeni Rasmin Mashindano ya Kuhifadhi Quran Afrika Yaliyofanyika Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar

WANANCHI wa Zanzibar wakifuatilia Mashindano ya Kihifadhi Quran Afrika yaliyofanyika katika Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar 22-3-2025. Mgeni Rasmin Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi .
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi  akisalimiana na Viongozi mbalimbali alipowasili katika  Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar, kuhudhuria Mashindano ya Kuhifadhi Quran Afrika yaliyofanyika 22-3-2025
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akielekea katika jukwaa la Viongozi katika Uwanja wa New Amaan Complex,  wakati wa Mashindano ya Kuhifadhi Quran Afrika, yaliyofanyika katika Uwanja huo leo 22-3-2025 na (kulia kwa Rais) Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe.Idrissa Kitwana Mustafa na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba,Sheria,Utumishi na Utawala Bora Zanzibar Mhe.Dkt.Haroun Ali Suleiman
MAJAJI wa Mashindano ya Kuhifadhi Quran Afrika wakiongoza mashindano hayo yaliyofanyika katika Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar, yaliyofanyika katika uwanja huo 22-3-2025
WASHIRIKI  wa Mashindano ya Kuhifadhi Quran Afrika yaliyofanyika katika Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar  yaliyofanyika 22-3-2025.
WANANCHI wa Zanzibar wakifuatilia Mashindano ya Kihifadhi Quran Afrika yaliyofanyika katika Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar 22-3-2025. Mgeni Rasmin Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi. 
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi mfano wa hundi ya shilingi milioni thalathi  Mshindi wa Kwanza wa Mashindano ya Kuhifadhi Quran Akfrika  kutoka Nchini Afrika Kusini Mohammed Raees Amanjee, mashindano hayo yaliyofanyika katika Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar  22-3-2025
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi zawadi ya fedha taslim mshiriki mwenye umri mdogo katika Mashindano ya Kuhufadhi Quran Afrika kutoka Nchini Kenya Muhammad Said Ahmed (10) mshindi wa kumi wa mashindano hayo  yaliyofanyika katika Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar  22-3-2025
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk,Hussein Ali Mwinyi  akikabidhiwa zawadi maalumu na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Zanzibar (ZBC) Ramadhan Bukini, baada ya kumalizika kwa Mashindano ya Kuhifadhi Quran Afrika, yaliyofanyika katika Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar leo 22-3-2025 na (kushoto kwa Rais) Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi na (kulia kwa Mkurugenzi Mkuu wa ZBC) Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba,Sheria, Utumishi na Utawala Bora Zanzibar Mhe.Dkt. Haroun Ali Suleiman
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi  akijumuika na Viongozi na Wananchi katika kuitikia dua ikisomwa na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi, baada ya kumalizika kwa Mashindano ya Kihifadhi Quran Afrika, yaliyofanyika katika Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar  22-3-2025
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyti akiwasalimia Wananchi walioshirika Mashindano ya Kuhifadhi Quran Afrika, yaliyofanyika 22-3-2025, katika Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar, akiondoka baada ya kumalizika kwa mashindano hayo. 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.