Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi Watembelea Wagonjwa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Lumumba

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi  Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi  akizungumza na kumjulia hali yake Bi. Arafa Mohammed Said, akiwa amelazwa katika Hospitali ya Rufaa  ya Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Lumumba akipatiwa matibabu, wakati wa ziara yake kuwatembelea Wagonjwa waliolazwa katika  hospital hiyo na (kulia kwa Rais) Waziri wa Afya Zanzibar Mhe.Nassor Ahmed Mazrui na (kushoto kwa Rais) Daktari Bingwa wa upasuaji Dr. Haitham Hamoud.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi  Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi  akizungumza na kumjulia hali yake Bi. Arafa Mohammed Said, akiwa amelazwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Lumumba akipatiwa matibabu, wakati wa ziara yake kuwatembelea Wagonjwa waliolazwa katika  hospital hiyo na (kushoto kwa Rais) Daktari Bingwa wa upasuaji Dr. Haitham Hamoud
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi  Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi  akijumuika na Wanafamilia  katika kuitikia dua kumuombea Bi.Arafa Mohammed Said, aliyelazwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Lumumba akipatiwa matibabu, ikisomwa na Katibu wa Ofisi ya Mufti Zanzibar Sheikh.Halid Ali Mfaume na (kulia kwa Rais) Waziri wa Afya Zanzibar Mhe. Nassor Ahmed Mazrui na (kushoto kwa Rais) Daktari Bingwa wa Upasuaji Dr. Haitham Hamoud. 


No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.