WAFANYAKAZI Idara Uzaji wa Barabara Zanzibar wakiweka lami mpya katika barabara ya Lumumba baada ya kuondowa lami kongwe na kuweka mpya ili kuimarisha miundombinu ya barabara za Mjini Zanzibar.
WALIMU SIMANJIRO WAJENGEWA UWEZO SIS
-
Na Mwandishi wetu, Simanjiro
WAKUU wa shule za sekondari na msingi wilayani Simanjiro mkoani Manyara,
wamejengewa uwezo wa kuandaa taarifa za shule kutoka...
1 Comments
Hongereni kwa juhudi zenu lakini na mitaro msiisahau. Bara bara bila ya mitaro hukosa uimara kwa vile maji hukatiza na kubomoa!
ReplyDelete