Wananchi wakiangalia ajali ya gari iliotokea katika barabara ya rahaleo iliozihusisha gari mbili zenye namba za Z 581BX bus na Pick up yenye namba za uasjili Z 629 BB, wakibishana kwa kulaumiana kila mmoja ndie mkosa wa ajali hiyo, katika ajali hiyo hakuna mtu aliyejeruhiwa.
BoT YADUMISHA RIBA YA BENKI KUU ASILIMIA 5.75 KWA ROBO YA KWANZA 2026
-
Kamati ya Sera ya Fedha ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imeamua kuendelea na
kiwango cha Riba ya Benki Kuu (Central Bank Rate – CBR) cha asilimia 5.75
kwa r...
37 minutes ago
0 Comments