Jengo la Klabu ya Kuinua Vito Vizito Mnazimmoja Zanzibar lapata Mfadhili wa kulifanyia ukarabati mkubwa na na kuwa la kimataifa baada ya kumaliza ujenzi huo unaofanywa na Kampuni ya Kusafirisha Mabaharia Zanzibar ya Danaos, kama linavyoonekana pichani likiwa katika hali ya kupendeza na kutowa motisha kwa wachezaji wa mchezo huo hapa Zanzibar.
Wachezaji wa mchezo wa kiinua vitu vuzito wakiwa katika mazoezi na huku ujenzi huo ukiendelea.
DKT. MAULID - USIMAMIZI FANISI WA SHUGHULI ZA ELIMU NI CHACHU YA MAFANIKIO
KATIKA SEKTA YA ELIMU
-
8 Januari, 2026
Hayo yamesemwa leo tarehe 08 Januari, 2026 na Mtendaji Mkuu wa Wakala wa
Maendeleo ya Uongozi wa Elimu – ADEM Dkt. Maulid J. Maulid alipoku...
3 hours ago
0 Comments