Mkurugenzi Msaidizi wa Kampuni ya Fresh Enterprise Catherine Peter Nao, akizungumza na waandishi wa habari kuhusu hasara iliopata kampuni yake kwa kuvunjwa kwa jengo lao la bar ilioko Amani kutokana na vurugu zilizotokea wiki iliopita na kufanyika uharibifu huo, kwa jengo hilo kwa kuvunjwa na kuchukuliwa kila kitu kiliokuwa humo milango na madirisha na kuezuliwa sehemu ya paa la jengo hilo.
DKT. MWIGULU AKUTANA NA NAIBU MKURUGENZI WA FAO
-
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amefanya mazungumzo na Naibu Mkurugenzi
Mkuu wa Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO), Bi. Beth
Bechd...
3 minutes ago
2 Comments
Duu..yaani kama serikali haipo!
ReplyDeleteHata huko Somalia sio kama hivyo!
ULEVI HAPA Zanzibar sio utamaduni wetu,wallah anaewapendelea hao na kumkasirisha mola alietuumba basi ajue, hiyo furaha yake ni hapa duniani tu ,akifumba jicho adhabu yake ataipata.Leo hii kila upitapo Zanzibar jamaa wanafungua mabaa na uzizi, jamani hizi sio desturi zetu.
ReplyDelete