Rais wa zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed
Shein,akiagana na Makamu wa Pili wa Rais Balozi Seif Ali Iddi pamoja
na viongozi wengine akatika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid
Amani Karume,akielekea Nchini Uingereza kwa Ziara maalum,katika safari
hiyo Dk. Shein amefuatana na Mkewe Mama Mwanamwema Shein. [Picha
na Ramadhan Othman,Ikulu.]
MEYA KIBAHA KUTOA ZAIDI YA MILION 18 KUCHIMBA VISIMA VINNE KUPUNGUZA KERO
YA MAJI PANGANI
-
Na Mwamvua Mwinyi, Kibaha Disemba 22, 2025
Baadhi ya wananchi wa Mtaa wa Kidimu, Kata ya Pangani, Halmashauri ya
Manispaa ya Kibaha wanakabiliwa na uhaba...
1 hour ago
0 Comments