Makamu wa Rais Dk.Mohammed Gharib Bilali akihutubia Mkutano wa Kumi na Sita wa Wakuu wa Nchi za Siasa ya Kutofungamana na Siasa ya Upande wowote unaomalizika leo mjini Teheran, Iran. Katika hotuba yake, pamoja na mambo mengine alisisitiza msimamo wa Tanzania kuendelea kupigania haki, kutetea wanyonge, kupinga ubeberu na ukandamizaji kote duniani, pia aliiasa Jumuiya ya Kimataifa kutatua migogoro yote kwa njia ya amani.(Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
VITONGOJI VYOTE MKOA WA KILIMANJARO SASA KUWA NA UMEME
-
📌 Wananchi wahamasishwa kuanza kufanya wiring kupokea mradi wa vitongojini
📌 Wananchi watakiwa kulinda miundombinu ya umeme
📌 Bilioni 33.5 kupeleka um...
22 minutes ago
1 Comments
acha kusema uwongo dr Bilal , umri wako ni mkubwa karibu utakutana na muumba jee humuogopi? tanzania inaongoza kwa unyanyasaji wa raia na imekuwa inatawala zanzibar kwa mabavu na kuwatumia viongozi kama nyinyi kuendeleza ukoloni , vipi unaisifu serikali ya madhalimu?
ReplyDelete