MSAIDIZI Meneja Elimu kwa walipa kodi kutoka
Bodi ya Mapato Zanzibar ZRB Safia Is-haka akizungumza na wafanyabiashara wa mji
wa Wete Pemba hawapo pichani wakati akiwasilisha mabadiliko ya sheria na kanuni
za ZRB kwa mwaka 2012/2013 kushoto ni Afisa Elimu Idara ya walipa kodi kutoka
Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA Saleh Haji Pandu (picha na Haji Nassor, Pemba)
WANAFUNZI ITA WAADHIMISHA SIKU YA KIMATAIFA YA FORODHANI KWA MJADALA
KITAALUMA
-
Na Mwandishi Wetu
WANAFUNZI wa Chuo cha Kodi (ITA) wameadhimisha Siku ya Kimataifa ya Forodha
kwa mjadala wa kitaaluma kuhusu jukumu la utendaji wa Himaya ...
6 minutes ago
1 Comments
ZRB ( zanzibar robbery bureau) na TRA ( tanganyika robbery bureau) , majambazi wenye kupewa leseni na serikali , kuwanyonya wananchi kujinufaisha wenyewe na matumbo yao na familia zao , subirini mkiingia makaburini mtakiona cha mtema kuni ,
ReplyDelete