Mmoja kati ya wazee wa kijiji cha Muungoni jina halikufahamika kwa mara moja akishirikiana na kinamama wa watoto wa wanafunzi katika mafunzo ya upikaji uji wa lishe huko Skuli ya Maandalizi ya Istimraa iliyopo Kijiji cha Muungoni.
Daktari Salma Rashid akimchunguza Masikio mwanafunzi wa Skuli ya Maandalizi ya Istimraa iliyopo Kijiji cha Muungoni
Diwani wa Viti Maalum Salama Ali akimkabidhi zawadi mmoja kati ya wanafunzi wa skuli ya Pete kwa niyaba ya wanafunzi wenzake.
Wanafunzi wa Skuli za Maandalizi Jambiani na Pete wakionesha ukakamavu katika machezo wa kuvuta kamba katika sherehe ya siku ya Afya ya Jamii zilizofanywa na Zanzibar Madrasat Resouce Centre huko Kijiji cha Muungoni.
PICHA NA MIZA OTHMAN MAELEZO-ZANZIBAR
NAIBU WAZIRI OFISI YA RAIS -UTUMISHI ARIDHISHWA UTEKELEZJI MIRADI YA TASAF
-
Na Mwandishi Wetu, Karatu.
NAIBU Waziri wa Ofisi ya Rais-Utumishi, Regina Qwaray, ameonyesha
kuridhishwa na utekelezaji wa miradi iliyojengwa na Mfuko wa...
2 hours ago
0 Comments