MEYA KIBAHA KUTOA ZAIDI YA MILION 18 KUCHIMBA VISIMA VINNE KUPUNGUZA KERO
YA MAJI PANGANI
-
Na Mwamvua Mwinyi, Kibaha Disemba 22, 2025
Baadhi ya wananchi wa Mtaa wa Kidimu, Kata ya Pangani, Halmashauri ya
Manispaa ya Kibaha wanakabiliwa na uhaba...
15 hours ago
1 Comments
Kama ni kweli SMZ imepania ktk afya kama anavyosema Dr.Shein, nadhani Z'bar itapiga hatua.
ReplyDeleteJambo la msingi sasa ni kuboresha elimu ya sekondari iweze kutoa wanafunzi wengi wa sayansi watakaoweza kujiunga na chuo hicho.
Suala la kuunganisha chuo cha afya mbweni na SUZA ni jambo jema lkn. pia tufikirie kukiendesha chu hiki ktk misingi ya utandawazi ili ivutie w'fuzi kutoka nje ya Z'bar.
Hii itasaida chuo kuonekana chenye sura ya kitaifa na kimataifa na pia kujiendesha kibiashara kwani SMZ hawataweza kukiendesha SUZA milele!