6/recent/ticker-posts

Siku ya uzazi wa mpango duniani yaadhimishwa Pujini, Pemba

 WANANCHI mbali mbali wa shehia ya Pujini, wakimsikiliza kwa makini Mkuu wa Wilaya ya Chake Chake, Mwanajuma Majid Abdalla (hayupo pichani) wakati alipokuwa akizungumza nao, katika kilele cha siku ya Uzazi wa Mpango Duniani, ambapo kiwilaya maadhimisho hayo yalifanyika
Pujini
 WANAKIKUNDI cha ngoma ya Msewe kutoka Chokocho, wakitumbuiza katika kilele cha siku ya Uzazi wa Mpango Duniani, maadhimisho hayo kiwilaya yaliyofanyika huko Pujini wilaya ya Chake Chake Pemba
 MKURUGENZI mtendaji wa Marie Stopes Ulla Muller, akizungumza na wananchi wa shehia ya Pujini, katika kilele cha Siku ya Uzazi wan Mpango Duniani, kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Chake Chake Mwanajuma MajidbAbdalla, maadhimisho hayo kiwilaya yamefanyika Pujini Chake Chke
Pemba.
MKUU wa Wilaya ya Chake Chake Mwanajuma Majid Abdalla, akizungumza na  wananchi wa shehia ya Pujini wilaya ya Chake Chake Pemba, katika kilele cha Siku ya Uzazi wa Mpango Duniani, maadhimisho hayo kiwilaya yalifanyika huko Pujini.
 
(Picha zote  na Abdi Suleiman,Pemba).

Post a Comment

0 Comments