Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na mgonjwa Kaka wa Rais Mstaafu wa Zanzibar, Salmin Amour, Abuu Amour Juma (73) aliyelazwa Hospitali ya Muhimbili, wakati alipomtembelea kumjilia hali jana hospitalini hapo. Picha na OMR
WANAFUNZI ITA WAADHIMISHA SIKU YA KIMATAIFA YA FORODHANI KWA MJADALA
KITAALUMA
-
Na Mwandishi Wetu
WANAFUNZI wa Chuo cha Kodi (ITA) wameadhimisha Siku ya Kimataifa ya Forodha
kwa mjadala wa kitaaluma kuhusu jukumu la utendaji wa Himaya ...
1 minute ago

0 Comments