6/recent/ticker-posts

Matunda ya miaka 50 ya Mapinduzi

Tangi hili la Maji ambalo limejengwa na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar ikishirikiana na mradi wa  African Development Bank - ADB, katika eneo la Gongoni Micheweni Pemba, ambalo linakadiriwa kuchukuwa maji zaidi ya lita 3000.ambalo ni miongoni mwa mradi unaotarajiwa kuzinduliwa katika shamra shamra za maadhimisho ya miaka 50 ya Mapinduzi Zanzibar.
Picha na Bakar Mussa, Pemba

Post a Comment

2 Comments

  1. Mara nyingi hesabu unazikosa
    Haiwezekani ukubwa wa hili tank likachukuwa lita 3,000
    ni zaidi ya hizo

    ReplyDelete
    Replies
    1. Sadakta ndugu yangu Zahor, kwa kweli umenitangulia, nilikuwa najiuliza mwandishi kweli alikuwa makini ama vipi.
      Naomba afualitie zaidi haiwezekani project kama hiyo ikajenga overhead tank la lita 3,000.

      Delete