Meneja wa Uwanja wa Amani Zanzibar Khamis Ali Mzee, akimueleza Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad juu ya maendeleo ya ulazaji wa nyasi bandia katika uwanja huo.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akitembelea uwanja wa Amani kukagua maendeleo ya kazi ya ulazaji wa nyasi bandia. (picha na Salmin Said, OMKR)
Meya Kigamboni awafariji wagonjwa agawa zawadi
-
Na MWANDISHI WETU
Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Kigamboni ambaye ni Diwani wa
Kata ya Kibada Mhe. 𝗔𝗺𝗶𝗻𝗶 𝗠𝘇𝘂𝗿𝗶 𝗦𝗮𝗺𝗯𝗼, amefanya ...
2 hours ago
0 Comments