Wananchi wa Wilaya ya Kaskazini A Unguja wakiangalia majina yao katika Kituo cha Skuli ya Pale Mkokotoni Unguja, Kuwataka Wananchi wa Jimbo la Tumbatu kuangalia majina yao kama yako sawa na kuweka pingamizi kwa Wananchi sio wakazi wa eneo hilo hawastaili kupiga kura katika eneo hilo.
Kongole NECTA kwa mpango kupanda miti 150,000 kutunza mazingira
-
Na: Dk. Reubeni Lumbagala
Utunzaji wa Mazingira ni jukumu letu sote. Uwe mtoto, kijana, mtu mzima au
mzee. Uwe mwanamke au mwanamme, uwe msomi au usiwe m...
18 minutes ago
0 Comments