Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akiwa katika futari ya pamoja na Masheikh mbali mbali wa Zanzibar nyumbani kwake Mbweni.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akisalimiana na baadhi ya Masheikh na viongozi wa dini ya kiislamum waliofika katika futari ya pamoja
Picha na Salmin Said OMKR
NGORONGORO YATANGAZA VIVUTIO VYA UTALII KWA WASHIRIKI WA ROMBO MARATHON.
-
Na Mwandishi Wetu, Rombo.
Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) imeshiriki katika tamasha la _Rombo
_Marathon_ lililofanyika leo tarehe 23 Desemba 202...
3 hours ago
1 Comments
Picha za futari ya Saturday za Bwawani za PBZ Ltd zipo wapi jamani???
ReplyDelete